Wanafunzi wapya wa fani mbali mbali kutoka Tanzaniawanatarajiwa kuwasili hapa Algeria siku ya tarehe 18/10/2007 saa 12:45 Mchana kwa shirika la ndege la Qatar airways.Wana jumuia nyote munaombwa mujiandae kuwapokea
Utaratibu kamili utatangazwa hapo baadae
Thursday, October 11, 2007
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment